Khadja Nin

Sina Mali, Sina Deni (Free) Songtext / Lyric


Khadja Nin - Sina Mali, Sina Deni (Free) Songtext


Ahiya, Ahiya

Kwa baraka

Mimi napona

Kabisa, ni hajabu

Sina mwili tena

Niko sawa upepo

Mimi masikini

Sina mali mali, sina deni

Mali yangu baba

Ina nyesha kama mvua

Ina ruka kama ndege

Ina cheka kama mtoto






Ahiya, mam'ahiya

Sina haja, ya kitu,

mimi napona

I'm free, kama maji

Anatembeya mpaka katika pori

Mimi, mi masikini

Sina mali mali, sina deni

Mali yangu baba

Ina ota kama maua

Ina pita kama nyota

Ina waka kama jua



Pole pole mama

Wakati wangu umefika, mimi napona

I'm free, kama hewa

Ina ingiya mpaka fasi inapenda

Mimi, ni masikini

Sina mali mali, sina deni

Mali yangu baba

Ina ona kama macho

Ina waka kama moto

Ina lia kama ngoma



I'm free kama maji

Ana tempaka mpaka kati ya pori



Kama hewa, kama macho kama nyota, kama maji

Kama mimi leo, mimi napona



I'm free, I'm free

Kama mimi leo, mimi napona



Ahiya Mam'ahiya

sina mali, Mungu, sina deni

Dieser Songtext wurde von www.Deine-Songtexte.com heruntergeladen :)

"Sina Mali, Sina Deni (Free)" Video ansehen

Was denkst du über "Sina Mali, Sina Deni (Free)"?